Trade Name: Rice Bac 400 SC
Active Ingredients: Bispyrobac-Sodium 2,6-bis
(4,6-dimethoxypyrimidin -2-yl} Benzoet -----400g/L
SIFA ZAKE:
🔸 Huangamiza Majani Magumu kwenye shamba la Mpunga,kama Vile;
Sangari,Kwekwe,Pungapunga na Ndago.
🔸Ondoa Maji kwenye shamba la Mpunga kabla ya Kupulizia.
🔸Puliza Mpunga ukiwa na wiki 3 yaan siku 21 tangu kuota.....
🔸weka Mls 7-10 kwa Lita 20 za Maji na Unaweza Kuchanganya na 2,4-D....
Karibuni Sana.